Thursday, June 25, 2020

JINSI YA KUFANYA NYWELE KUWA NA UNYEVU

ad300
Advertisement
Kama ambavyo mwili unahitaji maji kuendelea kunawiri vivyo hivyo nywele zetu zinahitaji unyevu ili kuendelea kuwa nzuri na zenye afya. Kuna niia ambazo zimezoeleka  kufanya nywele kuwa na unyevu; Hivyo wewe kama mtu unaetunza nywele unatakiwa ujue aina ya nywele zako na njia gani ya kuhifadhi nywele inkubalika na nywele zako.
Njia hizo zinaoneshwa vizuri kwenye picha hii πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ


C= Cream (Unaweza tumia Shea butter au  Mango butter)
O=Oil (Hapa tunatumia carrier oils kama vile Black Castor oil, Coconut oil, Olive oil, Jojoba oilnk)
L=Leav in Conditioner/Water based conditioner (Unaweza tumia ambayo inaendana na nywele zako, ila ambayo imezoeleka ni brand ya Cantu au Antie Jackies Leave in conditioners japo unaweza tumia ya asili ya kutengeneza mwenyewe nyumbani kama Vile Gelly ya Aloevera au ya bamia.
Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: