Tuesday, December 3, 2019

40. JINSI YA KUTENGENEZA MAFUTA YA NAZI (2)

ad300
Advertisement

NJIA YA  PILI
🧚‍♀️Chukua nazi iliyokomaa vizuri (sio zile  changa)
🧚‍♀️Kuna  nazi vizuri  kwa kutumia njia yeyote iliyo rahisi kwako  kama una mbuzi,
food processor, blender, grater au grapefruit spoon yoyote unaweza kutumia.
🧚‍♀️Chukua  maji ya vuguvugu kiasi kisha ongeza kwenye ile nazi uliyokuna
🧚‍♀️ Changanya na mikono yako kwa dakika 1 hadi 2
🧚‍♀️Kamua vizuri kwa kutumia chujio la nazi au cheese cloth ili upate tui la nazi.
🧚‍♀️Unaweza kurudia mara kadhaa kuweka maji ya vuguvugu ili kutoa matui yenye mafuta yote (mafuta yote kwenye nazi in general).
🧚‍♀️Ukishapata  tui  weka katika chupa na liache likae kwa  masaa 24 ili mafuta yajitenge na maji.
 🧚‍♀️Au unaweza weka jikoni (medium heat) kwa muda wa saa moja au mpaka maji yameondoka na yaliyobakia ni mafuta tu (au kwa kiwango kikubwa)
🧚‍♀️ Toa mapovu ya juu halafu weka mafuta yako katika chupa utakayoandaa.
🧚‍♀️Hadi hapo mafuta yako yapo tayari kutumia.

ITAENDELEA NJIA YA TATU❤️
Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: