Saturday, May 16, 2020

53. STEAMING NZURI INAYOKUZA NA KUJAZA NYWELE

ad300
Advertisement
MAHITAJI
🧚🏻‍♂️Parachichi nusu (inategemea na ukubwa)
🧚🏻‍♂️Black castor oil (mafuta ya mnyonyo) kijiko kimoja
🧚🏻‍♂️Ndizi iliyoiva nusu (au inategemea na ukubwa wa ndizi)
🧚🏻‍♂️Mafuta ya mzeituni (Olive oil) au mafuta ya nazi kijiko kimoja

JINSI YA KUANDAA
🧚🏻‍♂️Weka vyote kwenye blender saga hadi ilainike vizuri (kupata consistency nzuri),
🧚🏻‍♂️Baada  ya kuosha nywele zako sasa paka hyo steaming halafu vaa  kofia ya plastic (zile za kuogea) au kama una steamer ni nzuri zaidi.
🧚🏻‍♂️ Jifunge kitambaa ili joto lisitoke
🧚🏻‍♂️Kaa  dk 35 ukimalza hapo osha na maji safi.
🧚🏻‍♂️Paka  conditioner yako sugua sugua dk 5 baada ya hapo osha na maji ya barid.
🧚🏻‍♂️Baada ya hapo fuata LCO Method na kumalizia  na mitndo kinga.

NB: Kwa kawaida Steaming hufanywa kila wiki yaani kwa mwez mara 3 halafu Protein steaming (Protein treatment) mara 1 kwa mwezi au kila baada ya wiki 6

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: