Monday, June 1, 2020

STEAMING NZURI KWA NYWELE ZISIZO NA DAWA

ad300
Advertisement
MAHITAJI
🧚‍♀️Parachichi 1 kubwa
🧚‍♀️Ndizi moja iliyoiva vizuri
🧚‍♀️Yai 1 la kienyeji
🧚🏻‍♂️Asali kijiko kimoja
🧚🏻‍♂️Mafuta (Castor oil, jojoba oil or coconut oil) kijiko kimoja

JINSI YA KUANDAA
-Andaa ndizi na parachichi vizuri kisha weka kwneye blender
-Saga vizor mpaka zilainike vizuri kuepuka kubaki na particles kichwani
-Ongeza asali, mafuta pamoja na yai kisha blend tena vizuri
-Baada ya hapo osha nywele zako vizuri na shampoo isiyo na viambata sumu
-Kausha nywele kidogo kuondoa maji yanayotiririka kisha paka steaming yako kuanzia chini kabisa ya nywele (kwenye shina) hadi juu
-Hakikisha nywele zote zimepata steaming
-Vaa kofia ya plastic (zile za kuogea) kwa dakika 45 au kaa kwenye steamer kwa dakika 20 tu. Hii inafanyika kuongeza joto ili steaming iweze kuingia vizuri kwenye nywele.
-Baada ya hapo osha vizuri na maji ya baridi (kufunga vitundu vilivyofunguliwa na joto)
-Halafu utaendelea na LOC Method kama kawaida

FAIDA ZA STEAMING HII
-Kulainisha nywele na kuzuia zisijifunge funge
-Kung’arisha nywele
-Ni chakula cha nywele hivyo kufanya nywele kukua vizuri
-Kuondoa mba, miwasho nk kwa sababu ya asali ambayo ni antifungus.

NB: Kwa matokeo mazuri fanya hii mara mbili kwa mwezi🔥🔥🔥

NYWELE NZURI NI MATUNZO


Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: