![]() |
Advertisement |
MAHITAJI
π§π»♂️Chanuo kubwa
π§π»♂️Spray bottle yenye maji
π§π»♂️Mafuta ya kimiminika (Mafuta ya nazi/Olive oil/Black castor oil-au waweza changanya yote kwa viwango sawa sawa)
π§π»♂️Leave in conditioner (Ya chaguo lako-nzuri zaidi ni za Auntie Jackies au Cantu products)
π§π»♂️Applicator bottle
JINSI YA KUFANYA
πWeka maji kwenye spray bottle
πOngeza leave in conditioner kidogo
πOngeza mafuta kidogo pia kisha tikisa vizuri mchanganyiko wako
πSpray mchanganyiko wako katika nywele kiasi sio sana
NB: Tunaspray huo mchanganyiko kwa sababu inasaidia kuongeza unyevu (moisture) na kurahisisha kuchana kucha nywele maana haitakiwi kuchana nywele zikiwa kavu. Kwa kuwa ukichana nywele kavu ni rahisi kukatika.
πBaada ya hapo tumia vidole vyako kukata nywele mafungu, kuanzia mafungu 4 hadi 6 kulingana na nywele zako kama ndefu au fupi
πChana kwa kutumia vidole huku ukichambua mpaka uone nywele zimechambuka vizuri na hazijajifunga kwa kuwa 4 type hair (ambazo waafrica wengi wanazo) asili yake kujifunga hii inaitwa finger detangle husaidia kutoa nywele zilizojifunga.
π Chukua kitana kikubwa,chana kuanzia juu ya nywele kuja chini taratibu
πThen unaweza kutwist,au kusuka mabutu au tumia kibanio kubana nyweke zilizochanika vizur then unahamia fungu lingine mpaka utakapomaliza zote
Hii ina faida nyingi sana kama vile;
πInasaidia kutokata nywele wala kutoumia wakati wa kuchana sababu nywele zinakuwa na unyevu wa kutosha halafu zimechambuka vizuri.
Pia unashauriwa unapoweka deep conditioner (steaming kwa lugha iliyozoeleka) hakikisha umechana nywele zako vizuri ili kufanya nywele zilainike na steaming iziguse au izifikie nywele zote.
0 comments: