Monday, August 9, 2021

SABABU ZA KUKATIKA/KUNYONYOKA NYWELE NA JINSI YA KUZUIA NYWELE KUKATIKA.

ad300
Advertisement

 


SABABU 

💕Magonjwa ya kisaikolojia ya muda mrefu

💕Uvutaji wa sigara kupita kiasi

💕Kinga ya mwili kuwa chini kutokana na magonjwa yatokanayo na virusi

💕Mabadiliko ya hormone katika mwili, mabadiliko ya mazingira, mabadiliko ya mzunguko wa damu kichwani

💕Urithi

💕Kuwekwa ganzj wakati wa matibabu

💕Mlo usio sahihi

💕Ujauzito na kunyonyesha

💕Magonjwa ya kichwa

💕Matunzo hafifu ya nywele


Na mengine mengi tutaendelea kujuzana kadri siku zinavyoenda.


JINSI YA KUEPUKA AU KUZUIA/KUTIBU ENDAPO UMESHAPATA TATIZO HILO.

🧚🏻‍♀️Hakikisha nywele zako haziwi kavu

🧚🏻‍♀️Kula mlo kamili ikiwa ni pamoja na matunda na kunywa maji ya kutosha

🧚🏻‍♀️Kutumia bidhaa zisizo na viambata sumu

🧚🏻‍♀️Kuacha tabia hatarishi kama vile kuvuta sigara nk


ITAENDELEA…

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: